Tangazo la nafasi ya ajira za kujitolea
Tangazo la nafasi ya ajira za kujitolea
Imewekwa: 12 May, 2026
Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Igunga, anapenda kuwatangazia Wananchi wote wenye sifa kuomba nafasi mbalimbali za kujitolea kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa nafasi zifuatazo: Tafadhali pakua hapa, TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA ZA KUJITOLEA